
Ommy Dallah
Guest Blog: Ali Kiba is losing focus, letting fans down
The following article is courtesy of our associate Blog Bongo 5 from Tanzania.
Facebook: Bongo5.com
Twitter: @bongofive
Instagram: https://www.instagram.com/bongofive/
MAKALA: Kutoka kwa mashabiki “Alikiba unakua kiumri kimuziki unadumaa, badilika utapotea”
Wahenga walisema muda ni ukuta hauwezi kushindana nao, na hii inakuja kujionesha hata katika maisha ya kawaida kadri muda unavyozidi kwenda vitu kama mitindo, teknolojia na hata ladha ya muziki nayo inabadilika, lakini sio kwa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, King Kiba.
Alikiba bado anaamini kuwa nyimbo zake za zamani alizowahi kuziachia iwe kwa kuvujisha au kuziachia mtandaoni, kwa muda huo zinaweza kutumika tena na ku-hit jambo ambalo sio baya kwa msanii lakini kwa mtu mkubwa kama Alikiba huo ni uvivu.
Hebu turudi nyuma kidogo, Alikiba kwa miaka mingi alikuwa kimya kwenye muziki lakini mwaka 2014 aliporudi kwenye gemu na kuanza kutoa nyimbo kama Mwana (2014), Chekecha Cheketua (2015), Aje (2016), Seduce Me (2017) na Nagharamia watu wengi walianza kumuelewa na aliongeza mashabiki wapya ambao kwa miaka 2006 wakati anafanya vizuri wengi walikuwa ni wadogo kiumri.
Kutokana na ukubwa wa nyimbo hizo alizoachia kwa miaka mitatu mashabiki wengi wapya walianza kumfuatilia na kuamini kuwa wapo upande sahihi, lakini sio kwa mwaka 2018.
Kwa mwaka huu 2018 Alikiba umewakosea mashabiki wako wapya na hata baadhi ya mashabiki wako wa zamani, kwani nyimbo zote tatu hakuwa wimbo uliopokelewa vizuri kama zile ulizoachia miaka mitatu ya nyuma.
Wimbo kama Mvumo wa Radi sidhani kama unaweza ukaufananisha na Mwana, au wimbo kama Maumivu Per Day unaweza ukaufananisha na Aje au pengine wimbo wake mpya wa Hela unaweza ukaufananisha na Seduce Me.
Hii ni ishara tosha Alikiba kwa mwaka huu umewaangusha mashabiki wako, ngoma zote ulizotoa zimepokelewa kawaida sana.
Na, pengine huenda asiwe yeye peke yake aliyetoa nyimbo za kawaida kwa mwaka huu lakini, tunakuzungumzia yeye kutokana na ukubwa wa jina lake ‘KING KIBA’.
Achilia mbali, mashabiki wengi wa Alikiba ni wakubwa kimri kuanzia miaka 25 na kuendelea, lakini hiyo isimfanye Alikiba kubweteka na kutoa nyimbo za kawaida kama Mvumo wa Radi, Hela na Maumivu per Day.
Nyimbo kama Hela na Maumivu Per Day zote Alikiba alishawahi kuziachia mtandaoni miaka ya nyuma na zimesikilizwa hadi watu wakazichoka, sasa ni uvivu gani hadi akaamua kuziachia tena ile hali anajua muziki wa sasa unahitaji ubunifu wa hali ya juu ili usikilizwe zaidi.
Alikiba ni msanii mwenye kila sifa ya kuitwa msanii mkubwa, anauwezo wa kuandika nyimbo na kabarikiwa sauti, sasa ni kitu gani kinachomfanya mpaka arudie nyimbo kama Maumivu Per Day na Hii aliyoichia leo ya Hela? bila shaka ni uvivu.
Kwa jinsi muziki wa sasa ulivyo kiushindani, Alikiba usitegemee mashabiki wako wapya watashindwa kukushambulia endapo utaendelea kutowatendea haki kwa kuachia nyimbo za kawaida au kurudia nyimbo za zamani.
Leo, Alikiba ameachia wimbo wake aliyouita mpya wa ‘HELA’ ambao kiukweli sio mpya ni wimbo wa miaka mitatu iliyopita na hata kipindi hicho haukuwa mkali kivile, sasa kwanini unakuja kuurudia mwaka 2018?
Sitaki kuamini kama Alikiba ni mvivu kiasi hicho au ameridhika kiasi kwamba anashindwa kuumiza kichwa na kutunga nyimbo kali kama alivyozoeleka.
Leo mapema baada ya kuachia wimbo huo, hayakupita hata masaa matatu Alikiba alishambuliwa sana na mashabiki wake wengi wakimwambia aache kurudia nyimbo, wengine wakishindwa kuamini kama ni yeye aliyefanya maamuzi ya kuachia video ya wimbo huo. Pitia baadhi ya maoni ya wadau mitandao baada ya kuachia wimbo wa HELA
officialkisimpleKiukweli umetukosea sana mashabiki wako na unavyoelekea utapotea kimziki tuambie moja km unataka kuacha mziki bora uache tujue moja maana cc ndio tunaopata tabu bro yaan umetuferisha ??mashabiki zako wanakimbia bro
raquiz_star_boyWe jamaa m shabiki ako namba moja ila hi nyimbo kaka umezingua nenda na wakat bn hela ndio nn kaka man piga nyimbo za kuchezeka clb hzo nyimbo za kuimba bungen hela hela hela
nyangephotoHuwa sikomenti hata kama unakosea. Nakukubali sana. Ushahuri tu bro, hizo nyimbo za zamani zilikua na ni nzuri. Kuzirudia kwa sasa kama project za kibiashara nadhani hahitakusaidia kitu bro. Mashabiki wengi wanafikiri kama mimi.
Honestly, nadhani King Kiba is overrated. Ana kipaji cha hali ya juu lakini sijui tatizo ni management au uzembe wake mwenyewe. Labda aelekeze nguvu zaidi kwenye soka (naongea haya kama Team Kiba).emmanuelraisKing umeyumba mzee wakati|mda huu hukutakiwa kutoa ngoma ambyo tayari audio ilishasikilizwaga kitambo, Ila sema nini 2naishinao.mpasukooJamani mimi team mond lakin kusema ule ukweli @advocate.fi alikiba anazingua sana analeta mazoea na mziki.pambakyotoWe jamaa sio mzima kwa kweli watu tumekaa mkao wa kula tunasubiri chakula tule umetulisha mavi SAA hivi tunatapika tu badilika brother unachosha sio siri hivi unApata wapi ujasiri wa kujiita king kwa haya madudu unayoyatoa sasa hivi kuliko kuendelea kutudhalilisha mashabiki wako mitaani basi nikushauri staafu mziki kwa heshima ili uendelee kucheza mpira mana sio kwa maboko haya
Alikiba hakuchukua hata masaa manne akaifuta video ya wimbo huo, na mpaka sasa hajazungumzia chochote kuhusu kufutwa kwa video hiyo.
Mimi naamini Alikiba unauwezo mkubwa kwenye muziki, watendee haki mashabiki wako kwani hao ndio wanaoumia zaidi na bila wao wewe si kitu.
Kwa mwaka huu sitaki kuamini kuwa kitendo cha kujiingiza kwenye soka kimepelekea ushuke kimuziki HAPANA. Naamini umebweteka kwa vile unajua una uwezo ukubwa bila kukumbuka kuna msemo usemao “HARDWORK BEATS TALENT”.
Otile Brown's new video ft Aslay pulled down by you tube for 'violating terms of service'
Otile Brown has yet again suffered a major blow after his new video featuring Tanzania's Aslay 'Nikupe' was pulled down by you tube.
According to a message from you tube, the video violated their terms of service.
Mombasa port ranked number 114 among world's best 120 ports, number 1 in East and Central Africa
The Port of Mombasa has been ranked number 114 among the world's best 120 best ports that handle container cargo.
This is one step ahead of 2016 when it was ranked at position 115 worldwide.
The annual ranking is conducted by a reputable shipping magazine,Container Magazine .
Speaking at the Port of Mombasa, Kenya Ports Authority (KPA) Head of Corporate Affairs Mr Benard Osero said that the latest ranking now puts the Mombasa of Mombasa at position 6 in Africa and 1st position in East and Central Africa .
Ports listed in the Container Magazine are those that have attained well over 1 million TEUS annualy.
'' This is a laudable move and goes to show the steady and tremendous growth that the Port of Mombasa has been undergoing after a number of infrastructural upgrades,'' Osero said.
In the listing, Mombasa Port handled 1.1 million TEUs in 2017 up from 1.09 million TEUs , a 9 per cent growth .
''This percentage increment was better than what the best performing Port in the World- the Port of Shangai in China which had 30 million TEUs in the latest rankings,'' Osero said.
He added that other best performing Ports in Africa included Tanger Med Port in Morocco which handled 3.3 million TEUs, Durban (South Africa ) did 2.6 million TEUs and Lagos Nigeria that made it into the list for the first time clocking 1.5 million TEUs in 2017.
Africa's other best performing Ports are Alexandria and Port Said both in Egypt.
Osero spoke on the sidelines of the Customer Service Week which are being observed for one week.
The event is an annual global occasion which is celebrated during the first week of October when customer oriented, organisations and institutions around the world recognize the importance of customer service excellence and the staff who serve the customer.
KPA Acting Managing Director, Dr Arch.Daniel Manduku while addressing KPA staff at the firm's Headquarters yesterday said that to mark the global event, KPA has come up with a slogan 'You are Important ' shall be organising a series of events to demonstrate customer centric attitude.
KPA Head of Container Operations, Mr Paul Bor represented the MD at the function.
'' We have organised a road show within the Port's precincts to help create awareness on the event and to motivate KPA employees to remain committed to improving customer satisfaction,'' the MD said.
New video : Otile Brown ft Aslay - Nikupe
Otile Brown debuts a new hit single titled 'Nikupe' featuring Tanzania's Aslay.
The audio has been produced by Tanzanian music producerABBAH.
Watch the video below
Upcoming teen sensation Leyla releases 1st single 'Wimbo wa historia' , wants to perform for the president
Fast rising teen singing sensation Leyla, 13, has dropped her first ever single, WimboWaHistoria, a masterful rendition of the famous Kenyan Patriotic song of the same name.
Leyla, who was first spotted by Video Director Sammy Dee,was later recommended her to Peter Chuani (commonly known as DjPinye), a veteran DJ, Producer and Talent Scout credited with spotting and nurturing top Kenyan musical talents like Octopizzo and Elani. Fast forward, and Leyla’s debut single is finally here.
Leyla showcases talent way beyond her years, both in the audio and video. She performs the song with great diction and vocal prowess. It is clear that Whitney Houston is her biggest musical influence.
Leyla Biography
Leyla Mohamed is a talented Kenyan Singer, a 13 year old girl (as at October 2018) of Somali origin, born in the year 2005 in Naivasha Town at a place called ‘Kabati’ but now lives in Nairobi’s vast Eastleigh Estate with her single mother.
She comes from a humble background, a small family made up of her mother, who is the sole bread winner, and a male cousin who she fondly calls a big brother as she has known him all her life.
Leyla is currently a standard eight pupil at St. Teresa’s Girls Primary School and is set to sit for her Kenya Certificate of Primary Education in November 2018.
The young artiste currently calls the Permanent Presidential Music Commission her second home as it is where she is undertaking her vocal classes and also uses the various resources like the audio visual studios at the facility to improve her musical talent to world class standards.
Leyla was first spotted by video director Sammy Dee, who later recommended her to Peter Chuani (commonly known as Dj Pinye), a veteran DJ, Producer and Talent Scout credited with spotting and nurturing top Kenyan musical talents like Octopizzo, Elani and the 2017 Coke Studio Big Break artiste of the year , Band BeCa.
They were shooting one of the episodes of Dj Pinye’s musical shows, Dreams 2 Beats, when Sammy Dee spoke about a talented girl he knows. Pinye got in touch with her mother, he met them, they got acquainted and as they say, the rest is now history.
Her biggest wish is to perform for the President of Kenya and then later represent Kenya on the world stage as a singer
Leyla describes herself as a sanguine, she is a talkative and jovial girl, her biggest musical influence being the late Whitney Houston, who she grew up listening to on her mother’s favorite radio station, Kiss 100 . She began singing at the age of 3 and has never looked back since then.
She is a great vocalist, doesn’t play any musical instrument at the moment but would love to learn to play the piano when she joins secondary school. Her ambition apart from being a successful musician is to be a pilot.
Her debut single is set to come out in October 2018, which is a rendition of a famous Kenyan Patriotic song known as Wimbo Wa Historia, originally written by Enock Ondego.
Follow Leyla on social media:
Facebook: Leyla Kenya
Instagram: @leylakenya
'Never too busy experience' line up unveiled as Kenny lands in Nairobi
King of Ballad Kenny Lattimore is in town for the much anticipated “Never Too Busy Experience” set to take place at the Carnivore Grounds this Saturday 29th September.
The fire line-up for the night will include veteran DJ Pinye, The celebrated Improv outfit “Because You Said So”, Nairobi based Burundian Sensation Kidum and Saxophonist Parseen.
Speaking at a meet and greet held at the NRG Headquarters the famed song writer, producer and performing artist expressed his excitement being in the country calling out to fans to attend the grown and sexy show in droves.
“I can’t wait for Saturday night, I celebrate love and enjoy singing love songs. I sing to the hearts of women and the minds of men, It’s going to be a romantic night fans Nairobi cannot afford to miss’ Lattimore said.
RnB lovers have just 1 more day to grab tickets to the most sensual show of the year courtesy of NRG radio. Fans will jam to classic romantic hits including “For You”, “Stay on Your Mind” and “Never too busy” as well as classics by our Kenyan artists lineup.
You want to bring your grown and sexy friends as all roads lead to the Carnivore grounds for an authentic RnB experience like no other. Kenny Latimore is celebrated as the “modern soul man,” with his music which is of soulful sensation translating far and wide across various audiences.
The event is sponsored by Safaricom, NRG Radio, MoSound Events, Living with Ess, The Trend, NTV, Mookh, Magnate Ventures, Party Lounges, DT Dobie, Schweppes +C, Campari, Kenya Nut, Black Pine Entertainment, Vivo Energy, Tamarind Tree Hotel, Carnivore, Radar Security, Big Square, Pulse Live and Kenya Buzz.
Businees man Praful Kumar wants the court to allow him to travel outside the country to attend to sick daughter
A Nairobi tycoon who faces charges of attempting to bribe Nairobi governor Michael Mbuvi Sonko with Sh 5 million has made an application to travel out of the country to attend to his daughter’s medical needs.
Praful Kumar Premchand Saula, who is out on bond, made the application through his counsel Kennedy Marete under certificate of urgency while attending his pretrial conference at the Mombasa law courts before Principal Magistrate Henry Nyakweba.
The counsel told the court the application is urgent as the accused person had to seek the court’s permission to travel outside the country.
Marete informed the court that Praful intended to travel to the United Kingdom to attend to his daughter’s medical needs from October 22 to November 22.
He told the court he is fully aware of the court’s ruling delivered on August 24, 2018 in regards to the accused leaving the jurisdiction of the court without the court’s leave.
“I wish to reiterate the accused person is a law abiding citizen and that he continues to obey the court order and to attend when he is required,” he said.
The counsel said his application is in keeping with the dictates of justice and fairness and pleaded with the court to expeditiously address the prayers they have sought.
Marete informed the court he had served the office of the Director of Public Prosecution with the notice of application on the Nairobi tycoon’s intention to travel outside the county.
The matter will be argued on October 4 after the court set the date.
Five witnesses have been lined up against Praful in the case.
Victoria Kimani lands a major endorsement deal with Maybelline New York.
Kenyan Singer/Songwriter, Victoria Kimani lands a major endorsement deal with Maybelline New York, the world’s leading cosmetic brand.
The sensational Afropop singer is excited to announce the lucrative partnership deal with the global cosmetic giant.
The songstress joins the likes of Jourdan Dunn and Gigi Hadid in landing a Maybelline deal, but is the first African artist to collaborate with the brand, setting a new precedent for African artists in both the music and business world. Talk about Black Girl Magic!
Victoria Kimani says "I am very excited to partner with Maybelline NY especially here in Kenya, Africa only because of my love for Maybelline products but for what Maybelline stands for. The brand has always shared my personal view and philosophy as it pertains to my goals to "MAKE IT HAPPEN"”.
Maybelline NY which has a strong presence in Kenya is owned by French multinational L’Oréal.
Victoria Kimani has shown her dedication, hard work and hustle in the Pan-African music scene and it has really paid off.
Diamond teams up with Navy Kenzo in a brand new club banger 'katika'
Tanzanian music group Navy Kenzo made up of love birds Aika and Nahreel has partnered with super star Diamon Platnumz in a new club banger titled 'Katika'.
Watch the video below
New Video: Juliana Kanyomozi 'Zaabu'
Ugandan singer Juliana Kanyomozi has just released her latest video.
The video titled 'Zaabu' is off the Bits & Pieces Album that dropped in July this year.
It's track #9 & the fifth video off of the Album.
Watch the video below